Hali ya kibinaadamu kwenye Ukanda wa Gaza inazidi kuwa mbaya katika wakati Israel imeapa kuendeleza mashambulizi yake+++Kiongozi wa Chama Kikuu cha upinzani cha Labour nchini Uingereza Keir Starmer amesema wataufutilia mbali mpango wa serikali ya Conservative wa kuwapeleka waomba hifadhi nchini Rwanda